To Chat with me click here

Saturday, October 13, 2012

UHARIBIFU ULIOSABABISHWA NA WAISLAMU MBAGALA

Mimbali ikiwa imechomwa moto.
Ofisi ya Kanisa ikiwa imeharibiwa na moto kabisa
Baadhi ya vifaa vya kanisa vikiwa vimeharibiwa kabisa
Kushoto ni msikiti walipotokea Waislamu kabla ya kuvamia kanisa kulia. Nyumba hizi za ibada ziko jirani zikitenganishwa na barabara tu

Hawa wanafanya maombi na nimesikia wakiwaombea Waislamu Mungu awasamehe

No comments:

Post a Comment