To Chat with me click here

Thursday, October 4, 2012

MWANADADA AKAMATWA AKIWEKA NOTI NANDIA KWENYE M-PESA YAKE.

Mtuhumiwa aliyekamatwa kwa tuhuma za kukutwa na fedha bandia, Bi. Asha Abdallah (wa tatu kulia), akiwa chini ya ulinzi wa askari kanzu, kwenye ofisi za wakala wa M-pesa Yombo kwa Lulenge, wilayani Temeke, Dar es Salaam jana, wakati akijaribu kuziweka katika mtandao wa simu yake.

No comments:

Post a Comment