To Chat with me click here

Thursday, October 25, 2012

MHESHIMIWA RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, BENJAMIN WILLIAM MKAPA ASHIRIKI CHAKULA CHA JIONI KILICHOANDALIWA NYUMBANI KWA BALOZI WA TANZANIA UBELGIJI MH. DKT. DIODORUS KAMALA TAREHE 21.10.2012...!!!

Mh. Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akikaribishwa na Mama Balozi mara baada ya kuwasili nyumbani kwao Brussels kwa ajili ya chakula cha jioni
 Pichani ni baadhi ya watanzania na maafisa ubalozi waliojitokeza kumpokea Mh. Mkapa
 Mh. Mkapa akisaliana na wadau
  Ukaribisho ukiendelea
 Wakina mama hawkaubaki nyuma
 Mh. Mkapa akikaribishwa
 Baadhi ya watanzania waliojumika na Mh. Mkapa ktaika chakula cha jioni nyumbani kwa Mh. Balozi Kamala
 Rais mstaffu wa Tanzania Mh. Benjami Mkapa akiwa katika picha na Mh. Balozi wa Tanzania Belgium Dr Kamala nyumbani kwake
 Rais mstaafu wa Tanznia Mh. Mkapa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kikundi cha Upendo cha Ubeligiji na Mh. Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Kamala
 Rais mstaafu wa Tanzania Mh. Mkapa akiwa katika picha ya pamoja na familia ya balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr Kamala
 Baadhi ya viongozi wa Jumuyia ya watazania Ubeligiji na Uholanzi wakiwa katika picha ya pamoja na Rais msatafu wa Tanzania Mh. Benjamin William Mkapa pamoja na balozi wa Tanzania Ubelgiji Mh. Dr Kamala

No comments:

Post a Comment