To Chat with me click here

Monday, October 8, 2012

HAYA NDIO MAENDELEO YA KIAFYA YA MTOTO JULIANA MWINUKA.......

Mtoto  Juliana akiwa amelazwa katika hosipitali ya Taifa  jijini Dar es Salaam ambako amepelekwa  kutokana na jitihada za mtandao  huu na wadau  mbali mbali wanaoendelea  kuchangia
 Mtoto Juliana akisaidiwa na bibi yake


Mtandao huu Maxmillian Kattikiro unaendelea kuwapongeza wote wanaoendelea kuguswa na kuungana na wadau wengine kumchangia fedha za matibabu ,mtoto Juliana kama anavyoonekana akiwa ameunga uso wake kwa moto ni yatima anahitaji msaada wako ili kunusuru maisha yake waweza kutuma mchango wako kwa njia ya M-PESA katika namba hii 0754 026 299 au Tigo Pesa 0712 750199 namba hizi za Bw Francis Godwin wa mtandao wa Francis Godwin Blog.

Nawaomba tuungane kufanikisha kuokoa maisha ya mtoto Juliana Mwinuka na Mungu atatuongezea zaidi.
 

No comments:

Post a Comment