Afya
ya mtoto  Juliana Mwinuka (16) mkazi  wa kitongoji cha Ushindi kata
ya Mavanga  wilaya ya  Ludewa  mkoa  wa Njombe 
imeendelea  kuleta matumaini baada ya kuanza kukaa mwennyewe  huku
akiweza kuinua mikono yake jambo ambalo  linazidi  kutia
matumaini  zaidi.
Taarifa
mpya ya leo, kuna msamaria mwema kutoka nchini Marekani ameahidi kusaidia
kumtafutia hospitali nchini Marekani mtoto Juliana iwapo hapa nchini
itashindikana. 
Hata 
hivyo bibi wa mtoto  huyo jana  kwa mara ya kwanza ameweza kusimulia
udani halisi  wa tukio  hilo na kuwa si kwamba mtoto  huyo
aliungua zaidi ya  miezi saba kama alivyodai awali alipozungumza na
msamaria mwema  wa kwanza aliyepata  kuleta taarifa  hizi awali
bali aliungua toka mwaka 2008 akiwa darasa la 4 na kuwa mtoto huyo baba hana
ila mama yake yupo mzima japo ana matatizo ya akili  
Mtandao huu (Maxmillian Kattikiro Blog) unapenda kushukuru jitihada mbali mbali zinazoendelea kufanywa na mitandao mbali mbali ya kijamii kama Blog ,Facebook na Radio mbali mbali katika kutoa taarifa za mtoto Juliana pia kulishukuru gazeti la Amani la Leo kwa taarifa yake juu ya mtoto Juliana Mwinuka .
Sababu kuu ya kumhamisha leo kutoka Hospitali ya Muhimbili kurudi tena CCBRT ni kutokana na kuwepo kwa taarifa kuwa kuna madaktari bingwa kutoka nchi mbali mbali duniani watafika hapo kwa ajili ya kuwafanyia matibabu wagonjwa waliopo hapo hivyo mtandao huu kwa kushirikiana na wadau mbali ambao wameendelea kumtakia afya njema mtoto Juliana tumefanya jitihada za kumwamisha na kumpeleka hapo ili kukutana na bahati hiyo.
Mtandao huu (Maxmillian Kattikiro Blog) unapenda kushukuru jitihada mbali mbali zinazoendelea kufanywa na mitandao mbali mbali ya kijamii kama Blog ,Facebook na Radio mbali mbali katika kutoa taarifa za mtoto Juliana pia kulishukuru gazeti la Amani la Leo kwa taarifa yake juu ya mtoto Juliana Mwinuka .
Sababu kuu ya kumhamisha leo kutoka Hospitali ya Muhimbili kurudi tena CCBRT ni kutokana na kuwepo kwa taarifa kuwa kuna madaktari bingwa kutoka nchi mbali mbali duniani watafika hapo kwa ajili ya kuwafanyia matibabu wagonjwa waliopo hapo hivyo mtandao huu kwa kushirikiana na wadau mbali ambao wameendelea kumtakia afya njema mtoto Juliana tumefanya jitihada za kumwamisha na kumpeleka hapo ili kukutana na bahati hiyo.
Mtandao
huu unaendelea kuwapongeza wote wanaoendelea kuguswa na kuungana na wadau wengine
kumchangia fedha za matibabu, mtoto Juliana kama anavyoonekana akiwa ameunga
uso wake kwa moto ni yatima anahitaji msaada wako ili kunusuru maisha yake
waweza kutuma mchango wako kwa njia ya M-PESA katika namba hii 0754 026 299 au
Tigo Pesa 0712 750199 namba hizi ni za mmiliki wa mtandao wa Francis Godwin anayeratibu
shughuli zote za kuchangisha na matibabu ya mtoto Juliana. 
Nawaomba tuungane kufanikisha kuokoa maisha ya mtoto Juliana Mwinuka na Mungu atatuongezea zaidi
Nawaomba tuungane kufanikisha kuokoa maisha ya mtoto Juliana Mwinuka na Mungu atatuongezea zaidi


 
 
No comments:
Post a Comment