To Chat with me click here

Friday, October 19, 2012

CHADEMA WAMNADI MGOMBEA UDIWANI SHINYANGA

Dkt Slaa akimtambulisha mgombea udiwani wa chama chake wa kata ya Mwawaza,Shinyanga
 Dkt.Slaa akihutubia
 Mgombea udiwani wa CHADEMA
 Huu ni mkutano wa kumnadi mgombea wa CDM wa udiwani katika kata ya Mwawaza ulioongozwa na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr Wilbroad Slaa.Kumbuka huu ni mkutano tu katika mojawapo ya vijiji vya kata hiyo.

No comments:

Post a Comment