To Chat with me click here

Tuesday, October 9, 2012

MAGUFULI ATETA NA MAKANDARASI

Akizungumza na uongozi wa kampuni ya CHICO (hawapo pichani), Magufuli aliwataka kutekeleza mradi huo kwa kuzingatia makubaliano
Magufuli akikagua barabara inayokarabatiwa na kampuni ya CHICO kutoka nchini China baada ya kujenga chini ya kiwango mwaka 2008

Meneja TANROADS mkoa Singida Yustak Kangole akitoa taarifa ya marudio ya ujenzi wa barabara Sekenke-Shelui, km 33.3, kwa waziri

No comments:

Post a Comment