To Chat with me click here

Tuesday, October 16, 2012

MWILI WA MAREHEMU VICKY MACHA WAFIKA MOSHI

Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Vicky Macha (juu na chini) likishushwa na kuingizwa kwenye sehemu ya kuhifadhia maiti katika Hospitali ya KCMC mjini Moshi muda mfupi uliopita. Maziko yanatarajiwa kufanyika kesho Jumatano.
 Mama wa marehemu Vicky (katikati) akilia kwa uchungu kabla ya mwili kuhifadhiwa KCMC.

Wanahabari kutoka Iringa wakiwa nje ya Hospitali ya KCMC kabla ya kuuhifadhi mwili wa marehemu Vicky Macha muda mfupi uliopita. Maziko yatafanyika kesho Jumatano.

No comments:

Post a Comment