To Chat with me click here

MATANGAZO

INTERNET CAFE INAUZWA & KUKODISHWA

Kattikiro Internet Café & Stationary (Gongo la Mboto - Kituo Kipya) inakodishwa au kuuzwa kwa mtu yeyote aliye tayari. Ofisi hii ipo kandokando mwa barabara kuu ya Pugu (Pugu Road) na ina nafasi kubwa ya kutosha. 

Kwa wale watakaohitaji kupangisha, ofisi itapangishwa nzima ikijumuisha vifaa vifuatavyo:- 
  1. Computers Full Sets                         10PCS
  2. Meza za Komputa                            8PCS
  3. Viti vya kukalia (Mbao + Chuma)    8PCS
  4. Kiti (Executive) Kidogo                    1PC
  5. Meza ya Ofisi                                    2PC
  6. Pango la Ofisi
 Kama utahitaji kununua vifaa / ofisi zima vifaa vifuatavyo ndivyo vitakavyo uzwa:- 
  1. Computers Full Sets                         10PCS
  2. Meza za Komputa                            8PCS
  3. Viti vya kukalia (Mbao + Chuma)    8PCS
  4. Kiti (Executive) Kidogo                    1PC
  5. Meza ya Ofisi                                    3PC
  6. AC-Chigo 1.0HP                               1PC
  7. Aluminium Door                              1PC  
Gharama na Bei ya kukodisha/kupangisha au kununua mali hizo ni maelewano na mwenye mali. Kwa yeyote mwenye kuhitaji tafadhali wasiliana nami kwa anuani ifuatayo:- 
    
Kattikiro Internets & Stationaries, 
Gongo la Mboto / Yombo Vituka 
Mail Bag: 46326
Dar-es-Salaam, Tanzania. 
Phone: +255 614 123160  Fax: +255 736 604899
Mobile: +255 655 444666
 

Jinsi Ofisi hiyo inavyoonekana kwa ndani.
 
 
 
 
CHANGAMKIA OFA HII, WAHI MAPEMA AU PIGA SIMU KAMA ILIVYOELEKEZWA HAPO   JUU.

1 comment:

  1. Haya wadau changamkieni "issue" bei ni maelewano tena poa kabisa. ukiitaji vuta waya tuu.

    ReplyDelete