To Chat with me click here

Tuesday, September 4, 2012

VIONGOZI WA CHADEMA WAHANI MSIBA WA DAUDI MWANGOSI


Viongozi wakiwa eneo alilofia Mwandishi wa Habari wa Chanel Ten Daudi Mwangosi, kumepandwa mti kama kumbukumbu.
 Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa akimfariji mtoto wa Marehemu Daudi Mwangosi.
Mke wa marehemu  Itika Mwangosi akifarijiwa.

No comments:

Post a Comment