To Chat with me click here

Tuesday, September 11, 2012

WAZIRI NCHIMBI AZOMEWA NA WAANDISHI WA HABARI


Dondoo Muhimu

Waziri wa mambo ya ndani E. Nchimbi amefika Jangwani       kuongea na waandishi wa habari walioandamana kwa ajili ya    kifo cha Mwangosi lakini amezomewa vibaya, na walipoulizwa waandishi ni wangapi wanataka awahutubie wote wamemkataa, ikabidi aondoke kwa aibu kubwa.

Nchimbi kafukuzwa kwa aibu na waandishi wa habari wanasema yeye kaja kuwapokea kama nani wakati hawajamwalika?


Mabango yaanasema

"camera ya mwangosi ipo wapi"

"kamuhanda ni muuaji, kaua songea kaua iringa"        
Kwa mujibu wa Clouds FM jana ni kuwa waandishi wa habari wamezuiwa kuhitimisha maandamano yao viwanja vya Mnazi Mmoja kwa kuwa Halmashauri ya Ilala watakuwa wanafanya shughuli zao hapo!

JAMII FORUMS

No comments:

Post a Comment