To Chat with me click here

Friday, September 7, 2012

MIILI YA ASKARI WA JWTZ WALIOKUFA NCHINI SUDANI YAAGWA LEO

Askari wa Jwtz wakiwa wamebeba moja ya jeneza la mwili waaskari wa 3 wa jeshi hilo waliofariki kwa ajali ya maji  wakivuka mto Lamada, Sudani walikokwenda kulinda amani chini ya jeshi la umoja wa Mataifa muda mfupi kabla ya kuiaga mili hiyo Lugalo jijini Dar es Salaam
 Askari wa JWT wakingiza miili ya marehemu katika Gari tayari kwa safari ya kuelekea mikoani kwa ajili ya Mazishi
 Mkuuwa Majeshi nchini Devis Mwamunyange   akifariji mke wa moja wa askari walifariki Bi, Fatuma Chunguile
 Mkuu wa Majeshi nchini Devis Mwamunyange akitoa heshima za mwisho kwa miili ya marehemu

No comments:

Post a Comment