To Chat with me click here

Friday, September 28, 2012

TUUNGANE KUMCHANGIA FEDHA ZA MATIBABU MTOTO JULIANA



Mtoto Juliana Mwinuka mkazi wa kijiji Cha Mavanga wilaya ya Ludewa mkoani Njombe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya CCBRT wodi la wagonjwa wa Macho, sasa amehamishiwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.

Tunaendelea kuwashukuru wote wanaoendelea kutoa michango yao kunusuru uhai wa mtoto Juliana ambaye ni yatima pia tunawaomba muendelee kumchangia mtoto Juliana kwa kupitia namba za Francis Godwin kwa Tigo-Pesa 0712 750199 na M-Pesa 0754 026 299.

No comments:

Post a Comment