To Chat with me click here

Friday, September 28, 2012

CCM WAIBUKA KIDEDEA UCHAGUZI WA KUMTAFUTA MEYA NYAMAGANA

Kikao cha Uchaguzi cha Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana Jijini Mwanza kimemchagua diwani wa Kata ya Mkolani Mh. Stanslaus Mabula wa CCM kuwa Meya wa Jiji hilo mara baada ya kumshinda mshindani wake Charles Chinchibela wa CHADEMA aliyepata kura 8 ili hali Mabula akipata kura 11.

Tutawaletea taarifa kamili baadaye kidogo, endelea kufuatilia blog hii....

No comments:

Post a Comment