To Chat with me click here

Monday, September 10, 2012

CHADEMA UK WAMCHANGIA MJANE WA MWANGOSI


TAWI LA UK

CHADEMA TAWI LA UK LACHANGIA HARAMBEE YA KUMSAIDIA MJANE WA MWANGOSI

Tawi la chadema UK jana walijiunga na wanaharakati wengine duniani kote kumchangia mjane wa mwandishi aliyeuawa DAUDI MWANGOSI, (R.I.P)

Mchango huo amekabidhiwa Mwenyekiti wa Mjengwa Blog kiasi cha shs 1,012,500 cash

Wako katika ujenzi demokrasia ya kweli na uhuru wa ukweli

Chris Lukosi

Mwenyekiti  - Tawi la UK

No comments:

Post a Comment