To Chat with me click here

Monday, September 10, 2012

BINTI WA OSCAR KAMBONA AJIUNGA NA CHADEMA


Mwenyekiti wa Chadema UK, Chris Lukosi akimkabidhi kadi mwanachama mpya Neema Kambona, mtoto wa mwanasiasa mkongwe Mzee Oscar Kambona, shughuli fupi ilifanyika Barking baada ya watanzania wengi kuamua kujiunga na Chadema kupitia oparesheni zake za M4C zinaendelea.  

No comments:

Post a Comment