To Chat with me click here

Wednesday, September 19, 2012

MSIGWA- DAUDI MWANGOSI NI SHUJAA

Mbunge wa Iringa mjini-Chadema akihutubia umati wa wakazi wa Iringa mjini,waliofika kumsikiliza jioni ya leo katika viwanja vya soko kuu Iringa.
Sehemu ya umati
 Baadhi ya mabango yenye jumbe mbalimbali

Mbunge wa Iringa,mjini kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo- CHADEMA,jioni ya leo amehutubia umati mkubwa wa wakazi wa Iringa.Katika hotuba yake, Msigwa amesema kuwa, hayati Daud Mwangosi ni shujaa ambae atakumbukwa daima.

Tutawaleteeni habari zaidi.

No comments:

Post a Comment