To Chat with me click here

Friday, August 31, 2012

GAVANA WA BENKI KUU, AZINDUA MFUMO WA KUNUNUA DHAMANA NA HATI FUNGANI KWA NJIA YA MTANDANO


GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu akiongea na waandishi wa habari  jijini Dar es salaam kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo mfumo wa mawakala wa Benki hiyo wa kununua dhamana za Serikali na hati fungani kwa njia ya mtandano(online) kwenye mnada na hivyo kupunguza ule utaratibu wa dhamana wa kupeleka karatasi katika Benki ili kupata huduma hiyo.

Maswali--- GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndullu(kushoto) na Naibu Gavana wa BoT, Dk Natu Mwamba(kulia) wakinukuu maswali mbalimbali ya waandishi wa habari jana (leo) jijini Dar es salaam kabla hawajaanza kuyatolea ufafanuzi.

No comments:

Post a Comment