To Chat with me click here

Thursday, August 2, 2012

RATIBA KAMILI YA UCHAGUZI NA OPERESHENI M4C NDANI YA CHADEMA

Uchaguzi ndani ya Chama na Operesheni Sangara

Ratiba mpya ya operesheni sangara baada ya maagizo ya kamati kuu iliyokaa tarehe 9 Julai 2012 ya kusimamisha uchaguzi ndani ya Chama. Kamati Kuu iliamua uchaguzi uwe unafanyika ndani ya operesheni sangara.


DATE
ENEO HUSIKA
SHUGHULI
1
04/08 2012
Kanda ya kati
Uzinduzi wa operesheni
2
05/8-19/08/ 2012
Dodoma, Singida, Iringa Manyara na morogoro
Operesherni uchaguzi ngazi ya kata.
3
19/09-30/09/2012
Makao makuu
Maandalizi
Tathimini ya operesheni
4
01/10-20/2012
Baadhi ya maeneo ya Lindi, Dsm,Pwani, Bagamoyo na Tanga
OPERESHENI
Uchaguzi ngazi ya matawi na kata
5
21/10/30/10/2012
Makao makuu
Tathimini
Maandalizi
6
01/11-20/11/2012
Kilimanjaro na Arusha
Operesheni
Uchaguzi ngazi ya matawi
7
21/11-30/11/2012
Makao makuu
Tathimini
maandalizi
8
01/12-20/12/2012
Shinyanga,Tabora na Simiyu
Operesheni na uchaguzi ngazi ya matawi na kata
9
01/01-25/01/2013
Mwanza,Geita, Mara na kagera

10
26/01-30/2013
Makao makuu
Tathimini
11
01/02-20/02.2013
Kigoma, katavi Rukwa
Operesheni na uchaguzi ndani ya chama
12
21/02-30/02/2013
Makao makuu
Tathimini ya operesheni
13
01/03-25/03/2013
Mbeya, njombe na Ruvuma
Operesheni uchaguzi
14
26/03-30/03/2013
Makao makuu
tathimini
15
01/04-25/04/2013
Zanzibar
Operesheni na uchaguzi
16
26/04-30/04/2013
Makao makuu
tathimini

No comments:

Post a Comment