To Chat with me click here

Tuesday, August 28, 2012

MKUTANO WA M4C CHADEMA WAAHIRISHWA IRINGA.


Gari za polisi wakiwa tayari kwa lolote baada ya mkutano wa chadema kuahirishwa leo jioni, vyanzo vyetu vya habari vilijaribu kumtafuta mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mhe. Peter Msigwa ili kujua sababu za kuahirisha mkutano ambapo polisi walidai kuwa ni sababu Sensa za maendeleo na makazi zilikuwa zinaendelea hivyo wanaogopa zoezi hilo kuingiliwa na Mkutano huo wa CHADEMA. Baadhi ya picha za Chiku Abwao akiongea na wananchi na nyingine akiongea na kiongozi wa polisi.

No comments:

Post a Comment