To Chat with me click here

Monday, September 3, 2012

CCM YAENDA KINYUME NA MARUFUKU YA SENSA


JANA polisi walizuia CHADEMA kufanya mikutano Iringa kwa madai wamezuia mikutano ya siasa kupisha zoezi la sensa, ambapo kulizuka fujo na kupelekea aliyekuwa mwandishi wa Channel 10 ndg. Daudi Mwangosi kupoteza maisha kwa kupigwa bomu na polisi. Lakini wakati huo huo CCM jana imezindua kampeni Zanzibar kama inavyoonekana pichani, tena bila hata kujali amri hiyo ya kutofanya mikutano ya siasa. Dkt. Bilal azindua kampeni za Uchaguz Mdogo wa jimbo la Bububu – Zanzibar.


No comments:

Post a Comment