To Chat with me click here

Monday, July 30, 2012

RAIS KIKWETE AFUTURU NA VIONGOZI WA MADHEHEBU MBALIMBALI YA DINI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Baadhi ya viongozi na wawakilishi wa madhehebu mbalimbali ya dini wakishiriki katika futari aliyoiandaa Rais Jakaya Kikwete kwa viongozi wa dini ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni.

 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na viongozi na wawakilishi wa madhehebu mbalimbali ya dini walioshiriki katika futari aliyoiandaa kwa viongozi wa dini ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment