To Chat with me click here

Monday, July 30, 2012

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA SHEMEJI YAKE MJINI LINDI LEO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo amehudhuria mazishi ya shemeji yake, Marehemu Amani Kinyozi (45), aliyefariki Jumamosi iliyopita jijini Dar es salaam, na kuzikwa katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi.Pichani ni Rais Kikwete akishiriki katika swala ya kumuombea marehemu mjini Lindi leo.

Rais Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya shemeji yake, Marehemu Amani Kinyozi, katika makaburi ya Mitandi mjini Lindi leo Julai 30, 2012. PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment