Mchana wa leo, Jumatatu, Julai 9, 2012 
Chama Cha Madaktari (MAT) kimewasilisha maombi ya ulinzi kwa Viongozi 
wake na Dkt. Ulimboka (mwanachama wao) kwa Uongozi wa Umoja wa Mataifa 
(UM). Nakala ya barua hiyo imepachikwa hapo juu.
Source: http://www.mjengwablog.com 



 
 
No comments:
Post a Comment