To Chat with me click here

Monday, July 9, 2012

Chama Cha Madaktari TZ, Chawasilisha Maombi UN Ya Ulinzi Kwa Viongozi Wake:


Mchana wa leo, Jumatatu, Julai 9, 2012 Chama Cha Madaktari (MAT) kimewasilisha maombi ya ulinzi kwa Viongozi wake na Dkt. Ulimboka (mwanachama wao) kwa Uongozi wa Umoja wa Mataifa (UM). Nakala ya barua hiyo imepachikwa hapo juu.

Source: http://www.mjengwablog.com

No comments:

Post a Comment