To Chat with me click here

Tuesday, July 3, 2012

Mbeki :Reclaim Africa’s Position in the World

Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Zuberi Kabwe akiwa na Rais Mstaafu wa Afrika Kusini alipomtembelea Nyumbani Kwake, Midrand - Afrika Kusini.

"Nilipata fursa ya kumtembelea Rais Mstaafu wa Afrika Kusini ndugu Thabo Mbeki nyumbani kwake Midrand, Afrika Kusini-Tulizungumza masuala mbalimbali kuhusu Bara la Afrika, masuala ya Uongozi katika AU, mgogoro wa Sudan na Libya na nafsi yake katika siasa za Ulimwengu".

No comments:

Post a Comment