To Chat with me click here

Friday, July 13, 2012

Viongozi Wa CHADEMA wahojiwa na Polisi Makao Makuu

Katibu Mkuu wa Chadema, Wilbrod Salaa akiwasili kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Polisi mjini Dar es Salaam, kutii amri ya polisi iliyomtaka kutoa maelezo kuhusu madai yaliyotolewa na chama hicho  juzi kati kwamba kuna njama zinafanywa na vyombo vya ulizni na usalama vya serikali kuwaua baadhi ya viongozi wa chama hicho. Kulia ni aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini.
 Polisi akiwaonyesha njia Dk. Slaa na mwenzake
Dr. Slaa akisalimiana na watu waliokuwa maeneo hayo.
Baadhi ya watu waliokuwa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kutaka kujua kilichokuwa kikiendelea
 Kisha akazungumza na waandishi wa habari baada ya kuhojiwa na polisi
 wafuasi wakasukuma gari lake wakati akiondoka

No comments:

Post a Comment