To Chat with me click here

Tuesday, November 20, 2012

JINSI MWILI WA WAZIRI WA ZAMANI JACKSON MAKWETA ULIVYOAGWA JANA

Rais, Jakaya Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha maombolezo msibani kwa Mhe. Jackson Makweta
Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Ghalib Bilal naye akiweka sahihi katika kitabu cha maombolezo msibani hapo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uratibu Bunge, Mhe. William Lukuvi akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiaga mwili wa Marehemu Jackson Makweta
Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda akiaga mwili wa Marehemu Jackson Makweta
Mama Salma Kikwete akiwa pamoja na baadhi ya wafiwa msibani hapo.

No comments:

Post a Comment