| Rais, Jakaya Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha maombolezo msibani kwa Mhe. Jackson Makweta | 
| Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Ghalib Bilal naye akiweka sahihi katika kitabu cha maombolezo msibani hapo | 
| Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uratibu Bunge, Mhe. William Lukuvi akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu. | 
| Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiaga mwili wa Marehemu Jackson Makweta | 
| Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda akiaga mwili wa Marehemu Jackson Makweta | 
| Mama Salma Kikwete akiwa pamoja na baadhi ya wafiwa msibani hapo. | 

 
 
No comments:
Post a Comment