To Chat with me click here

Wednesday, May 1, 2013

CHADEMA YAUNGURUMA NA KUTEKA JIMBO LA MLALO HAPO JANA KATIKA MKUTANO WA HADHARA



Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema jana kilifunika katika uwanja wa Mnadani lukozi jimbo la Mlalo. Katika mkutano huo wananchi walitaja kero mbalimbai ikiwemo Ushuru mkubwa wa Ng"ombe kwa shilingi Elifu 6000, ngo'mbe ambapo wanapewa stakabadhi ya Sh 3000, Wananchi hao walihoji je huu si wizi? Kelvin aliwahoji na wakadia kwamba hawna tena imani na chama cha ccm na wamedai kwamba 2015 wa wananchi hataichgua tena.

Wananchi hao walilalamikia ushuru wa Mazao ambao ni Sh elfu 5 kwa gunia,
pia ujenzi wa soko la lukozi ambalo halijakamilika hadi Mda huu zaidi ya miaka 7 sasa.

Makamanda wa Chadema waliwahoji wanachi kama wanania na wana penda Mbunge ngirizi Arudi Madarakani wananchi walisema hawmtaki tena 2015 yeye na ndugu Lukas shemdolwa ambaye ni Diwani wa Kata ya Malindi lukozi jimbo la Mlalo. 

Wananchi wa Mlalo wamesema mbele ya makamanda we chadema kuwa hawamtaki Ngwirizi na ndugu lukasi shemdolwa na wamesema kitendo cha makada wa ccm kupiga risasi eneo hilo wiki tatu zilizopita ni utovu wa nizamu wa chama cha ccm, Kwani hakuna mwana ccm aliyekemea wala kulipoti tukio hilo Police hadi viongozi wa Chadema walipo kwenda kutoa riport polisi.

Wananchi wameapa kutowaamini tena viongozi wa ccm na wakachukua namba za simu za viongozi wa Chadema kwa ushrikiano zaidi, kwani viongozi waliowachagua wa ccm hawafai na ni wazembe.Wananchi wa Maeneo ya Mnadani Lukozi wamelaani sana tukio la 

Mtoto wa Mjumbe wa mkutano mkuu wa Taifa ccm ndugu Edmond Mdolwa, Mtoo wake Faustine Mdolwa kupiga Risasi wiki tatu zilizopita hap kijijini na kudai kwamba hakuna wa kumfanya kitu yeye ndie ccm.

No comments:

Post a Comment