To Chat with me click here

Monday, February 18, 2013

UZINDUZI WA KANDA YA KASKAZINI KATIKA PICHA

Mbunge wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema katikati akiwa katika Uzinduzi wa Chadema Kanda ya Kaskazini.
Katibu wa Chadema Arusha Mh Amani Golugwa akiongea katika uzinduzi wa Chadema Kanda ya Kaskazini.
Kamanda James Ole Millya aliye katikati akiwa katika uzinduzi wa Chadema Kanda ya Kaskazini.
Muasisi wa Chadema Mzee Edwini Mtei Akiwa katika uzinduzi wa Chadema Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment