| Mwenyekiti wa Bavicha Ndg. fredrick Kabati akizungumza |
| Mwenyekiti wa Jimbo la Segerea naye akichangia kitu kwenye harambee hiyo. |
| Katibu wa Jimbo la Ukonga Ndg. Juma Mwaipopo akizungumza katika hafla hiyo. |
| Nixon Tugara : Aliyekuwa Mgeni Rasmi katika hafla hiyo akizungumza |
| Mweka Hazina wa Jimbo Ndg. Irene akikabidhi mchango wake kwa Mwenyekiti wa Rasilimali Fedha Bw. Maxmillian Kattikiro katikia Harambee hiyo. |
| Baadhi ya wageni wakiwa kwenye sala ya ufunguzi wa Harambee hiyo |
| Katibu wa Jimbo ndg. Mwaipopo akimsindikiza nje ya ukumbi M/hazina wa Jimbo, baada ya kupokea taarifa za msiba wa binamu yake akiwa katika Changizo hilo la Bavicha. |
| Makamanda katika picha ya pamoja. |

No comments:
Post a Comment