To Chat with me click here

Friday, June 8, 2012

CHADEMA WASHINGTON DC YAPATA MWANACHAMA MPYA

 
Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley Pandukizi, pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe akimkabidhi rasmi mwanachama ambaye ni mwana mitindo Linda Bezuidenhout (LB) katika ofisi ya tawi la Chadema Washington DC.

Mwenyeketi wa tawi la Tawi la Chama Cha Demokrasia CHADEMA Washington DC Mhe. Kalley pamoja na katibu wake Mhe. Libe Mwang'ombe wakipata picha ya pamoja na Linda Bezuidenhout Atlanta, Georgia na wanachama wa tawi la chadema Washington DC

No comments:

Post a Comment