To Chat with me click here

Wednesday, August 7, 2013

UWANJA WA NDEGE WA JKIA ULIVYOTEKETEA



Moto mkubwa umewaka katika uwanja mkuu wa ndege wa Jomo Kenyata mjini Nairobi Kenya , na kulazimisha kufungwa na hivyo kusitishwa kwa safari za anga katika eneo la Afrika Mashariki.

Safari za mamia ya wasafiri zimevurugwa na kuachwa nje ya uwanja huo wenye shughuli nyingi zaidi Afrika mashariki . Nyingi kati ya safari za ndege zimeahirishwa huku ndege zinazoingia zikielekezwa katika uwanja wa ndege wa Mombasa.

No comments:

Post a Comment