To Chat with me click here

Friday, October 17, 2014

VIRUSI HATARI KWA VIUMBE VYAGUNDULIWA




Watafiti wa masuala ya viume vya ardhini na majini, wamegundua virusi vipya vinavyoangamiza kwa kasi kizazi hicho kusini mwa nchi ya Hispania.
 
Wahafidhina wa mambo ya viumbe wanasema kwamba virusi hivyo vinauwezo wa kurukia viumbe wakiwemo vyura,uyoga,mijusi na majini na kuna uwezekano nyoka pia wakaathiriwa na virusi hivyo.

Virusi hivyo vinauwezo mkubwa wa kushambulia ngozi ya tumbo la viumbe hivyo na kusababisha kansa na hufa kutokana na kuvujwa kwa damu mfululizo tumboni.

Kiongozi wa utafiti huo Dokta Stephen Price kutoka katika chuo kikuu cha London anasema kwamba kuna dalili kuwa ugonjwa huo unasambaa. Na ugonjwa huo umeshaonekana katika nchi za China, Ufaransa na hata
Netherlands.

No comments:

Post a Comment