To Chat with me click here

Thursday, April 12, 2012

JE HUU NDIO UTAWALA WA KUFUATA SHERIA NA UHURU WA HAKI SAWA KWA KILA MWANANCHI?


Mama mmoja katika mitaa ya Arusha Mjini akiwa amebebwa na askari wa jiji juu bila hata kujali, utu wake huku wakiacha baadhi ya sehemu za mwili wa mama huyo zikiwa nje na huku baadhi ya raia wakifuatilia taflani hiyo.



Moja kati ya hospitali za baadhi ya vijiji vya Tanzania zikitoa huduma ya matibabu kwa wakina mama katika hali duni kabisa kama ionekanavyo pichani. Je kwa kasi hii tutafika kweli?

No comments:

Post a Comment