To Chat with me click here

Monday, October 7, 2013

VAN PERSIE AFURAHIA KUKUTANA NA MTU MKUBWA NA MREFU HASHEEM THABEET WA TANZANIA




Haijalishi kuwa anapokea mshahara wa pound 12.2 milioni kwa mwaka akiwa na Manchester United (Red Devils), lakini Robin Van Persie akikutana na Hasheem Thabeet, lazima aonekane mbilikimo. Na pia haijalishi kuwa, Van Persie ni mshambuliaji kwenye timu bora kabisa duniani, lakini akikutana na mchezaji mrefu zaaidi kwenye ligi ya NBA, Hasheem Thabeet wa Tanzania, lazima a-post picha Instagram na kuonesha kufurahi kwake. 

Wamarekani wanasema, “real recognize real” na ndio maana Van Persie amepost picha aliyopiga na Hasheem Thabeet. 

Hebu fikiria kwamba, kama picha hii angeipost Hasheem mwenyewe, isingekuwa big deal au sio? Lakini kwa kuwa imepostiwa na Van Persie mwenyewe, kaka hiyo ni kitu kingine. Kumbuka kuwa obama aliwahi kumwongelea Hasheem na sasa Van Persie, kwaweli ubora na umahiri wa Thabeet unaonekana wazi. Keep it up Dogo Hasheem Thabeet, na hongera sana.

No comments:

Post a Comment